Shirika la Habari la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Majalis za Maombolezo na Kumbukumbu ya Shahada ya Ava Abdillah Al_Hussein (as), zinaendelea kila Siku katika Mwezi huu Mtukufu wa Muharram katika Madarasa ya Hazrat Zainab (sa) Kigamboni- Dar-es-salaam.
28 Juni 2025 - 21:29
News ID: 1702834
Hakika huu ni Mwezi wa Huzuni kubwa kwa Umma wa Kiislamu kutokana na kuuliwa Kishahidi ndani yake, Imam Hussein (as), Mjukuu Kipenzi wa Mtume wetu Muhammad(saww).
Katika Picha ni Majlisi ya pili katika kuhuisha kumbukumbu ya Shahada hiyo ya Imam Hussein (as) na Mashahidi wote wa Karbala. Khatibu wa Majalis: Sheikh Ghawthi Salim Nyambwa.
Your Comment